Podcasts
Enjeux de société
Sweeping raids leave Turkey’s LGBTQI+ community fearing what comes next
9:58
Swahili (generic)
Podcasts
2026
Kila wiki, mamilioni ya nguo za mitumba hufika katika masoko kama vile Gikomba jijini Nairobi, Kenya, au Kantamanto mjini Accra, Ghana. Takriban asilimia 40 ya bidhaa hizi zinazoagizwa kutoka nje haziwezi kuvaliwa kabisa, na hivyo kuhamishia mzigo wa udhibiti wa taka za nguo kwa jamii.
Nguo nyingi zilitotengenezwa kwa kutumia poliesta na nailoni, huziba njia za maji za mijini, huchafua fuo za bahari, na zinapochomwa, hutoa gesi yenye sumu na kuchafua mazingira.
Katika makala ya leo tunaangazia jinsi biashara ya mitumba imegeuka tatizo kubwa la mazingira na kuharibu mifumo ikolojia.
15 juin 2026
Swahili (generic)
9 Mo