Podcasts
Enjeux de société
Sweeping raids leave Turkey’s LGBTQI+ community fearing what comes next
10:06
Swahili (generic)
Podcasts
2026
Wakulima wa Meru kaskazini mashariki mwa Kenya wanakumbatia matumizi ya mitego ya wadudu inayotumia nishati ya jua ili kukabiliana na false codling moth (FCM), mdudu anayeharibu mazao ya parachichi.
Eneo la kaskazi mashariki huzalisha kiwango kikubwa cha parachichi zinazouzwa ulaya na Asia Kupitia teknolojia hii, wakulima sasa wameanza kupata nafasi katika masoko ya nje....vile vile wamepunguza utegemezi wao kwa viuatilifu vya kemikali,hivyo kuongeza kipato cha wakulima.
24 février 2026
Swahili (generic)
9 Mo